Rais wa Misri awasili nchini

IKULU: Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili hapa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA MBINDA BLOG IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI, nenda play store kisha tafuta / search MBINDA BLOG

No comments