Tabia 10 zinazoharibu Figo

Tabia 10 zinazoharibu Figo

  1. Kubana mkojo muda mrefu
  2. Kutokunywa maji ya kutosha kila siku
  3. Kutumia chumvi nyingi kuzidi kiwango
  4. Kula nyama mara nyingi
  5. Kutokula chakula cha kutosha
  6. Kuchelewa kujitibu maambukizi madogo madogo haraka na kwa usahihi
  7. Kutumia visivyo dawa za kutuliza maumivu
  8. Kutumia dawa kwa ajili ya insulin kwa muda mrefu
  9. Kunywa pombe kupita kiasi
  10. Kutopata muda wa kutosha kupumzika

Kunywa glasi 2 za juisi ya parachichi kila siku kutaziweka figo zako katika hali ya usafi na afya.


USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA MBINDA BLOG IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI, nenda play store kisha tafuta / search MBINDA BLOG

No comments