KARIBIA WAHAMIAJI HARAMU 1047 WAOKOLEWA KATIKA BAHARI YA MEDITERANIA

Wahamiaji haramu zaidi ya 1000 waokolewa na kikosi cha wanamaji katika Bahari ya Mediterania .

Taarifa hiyo imetolewa na kikosi kinachohusika na kulindi mipaka ya majini cha Libya.

Kufuatia mkataba wa (UMH) , kikosi cha kulinda mipaka  kimetangaza kuwaokoa wahamiaji hao haramu katika ufukwe wa jiji la Sabrata .

Miongoni wa wajhamiaji hao wamo wanawake na watoto.



No comments