Cristiano Ronaldo afungiwa mechi tano

Mchezaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo afungiwa mechi 5 kwa kitendo cha kumsukuma mwamuzi alipompa kadi ya pili ya njano katika mechi ya Super Cup ya Hispania, mechi ya kwanza baina ya Barcelona na Real Madrid.

USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA MBINDA BLOG IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI, nenda play store kisha tafuta / search MBINDA BLOG

No comments