Waziri mkuu wa zamani nchini Libya atekwa nyara na watu waliojihami kwa silaha
Waziri mkuu wa zamani nchini Libya Ali Zeidan ameripotiwa kuvamiwa na kutekwa nyara katika hoteli alimokuwa na watu waliojihami kwa silaha usiku wa Jumapili jijini Tripoli .
Zeidan alikamatwa na kuepelekwa katika eneo lisilojulikana .
Hadi kufikia sasa hamna kundi lililotangaza kuhusika na utekeji nyara huo .
Taarifa pia zafahamisha kwamba sio mara ya kwanza kwa waziri huyo wa zamani kutekwa nyara .
Alipokuwa waziri mkuu mwaaka 2013 ,Ali Zeidan aliwahi kutekwa nyara wafuasi wa chama cha mapinduzi cha Libya na kuachiliwa huru baada ya masaa kadhaa ya kushikiliwa mateka .
USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA MBINDA BLOG IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI, nenda play store kisha tafuta / search MBINDA BLOG
Zeidan alikamatwa na kuepelekwa katika eneo lisilojulikana .
Hadi kufikia sasa hamna kundi lililotangaza kuhusika na utekeji nyara huo .
Taarifa pia zafahamisha kwamba sio mara ya kwanza kwa waziri huyo wa zamani kutekwa nyara .
Alipokuwa waziri mkuu mwaaka 2013 ,Ali Zeidan aliwahi kutekwa nyara wafuasi wa chama cha mapinduzi cha Libya na kuachiliwa huru baada ya masaa kadhaa ya kushikiliwa mateka .
USISAHAU KUPAKUA / KUDOWNLOAD APPLICATION YA MBINDA BLOG IPO PLAY STORE ILI UPATE HABARI KWA URAHISI, nenda play store kisha tafuta / search MBINDA BLOG
Post a Comment